سواحلي ژباړه - د رواد الترجمة مرکز

د قرآن کریم د ماناګانو ژباړه

دا ژباړه د مرکز رواد الترجمة ټیم لخوا د ربوہ د تبلیغ ټولنې او د اسلامي منځپانګې د خدماتو ټولنې په همکارۍ شوې.

QR Code https://quran.islamcontent.com/ps/swahili_rwwad

أَلَمۡ تَرَ كَيۡفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصۡحَٰبِ ٱلۡفِيلِ

Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyowafanya wale wenye tembo?

Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyowafanya wale wenye tembo?

أَلَمۡ يَجۡعَلۡ كَيۡدَهُمۡ فِي تَضۡلِيلٖ

Kwani hakufanya vitimbi vyao kuharibika?

Kwani hakufanya vitimbi vyao kuharibika?

وَأَرۡسَلَ عَلَيۡهِمۡ طَيۡرًا أَبَابِيلَ

Na akawatumia ndege makundi kwa makundi.

Na akawatumia ndege makundi kwa makundi.

تَرۡمِيهِم بِحِجَارَةٖ مِّن سِجِّيلٖ

Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni.

Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni.

فَجَعَلَهُمۡ كَعَصۡفٖ مَّأۡكُولِۭ

Akawafanya kama majani yaliyoliwa!

Akawafanya kama majani yaliyoliwa!