Header Include

Fassarar Sawahil - Cibiyar fassara ta Ruwwad

Wani gungu na cibiyar fassara ta Ruwad ne suka fassarasu tare da haɗin gwiwar Ƙungiyar Da'awa ta Rabwah da Kungiyar hidimtawa abinda Musulunci ya kunsa da yaruka

QR Code https://quran.islamcontent.com/ha/swahili_rwwad

بِسۡمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحۡمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

ٱلۡحَمۡدُ لِلَّهِ رَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ

Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu.[1]

[1] Mola Mlezi ni yule anayewalea walimwengu wote. Nao walimwengu ni kila kisichokuwa Mwenyezi Mungu.
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu.[1]

ٱلرَّحۡمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.[1]

[1] Katika misingi waliyokubaliana juu yake watangulizi wema wa umma huu na maimamu wake ni kuamini kwamba Mwenyezi Mungu ana majina na sifa nzuri nzuri.
Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.[1]

مَٰلِكِ يَوۡمِ ٱلدِّينِ

Mmiliki wa Siku ya Malipo.

Mmiliki wa Siku ya Malipo.

إِيَّاكَ نَعۡبُدُ وَإِيَّاكَ نَسۡتَعِينُ

Ni Wewe tu tunayeabudu, na ni Wewe tu tunayeomba msaada.

Ni Wewe tu tunayeabudu, na ni Wewe tu tunayeomba msaada.

ٱهۡدِنَا ٱلصِّرَٰطَ ٱلۡمُسۡتَقِيمَ

Tuongoe kwenye njia iliyonyooka.

Tuongoe kwenye njia iliyonyooka.

صِرَٰطَ ٱلَّذِينَ أَنۡعَمۡتَ عَلَيۡهِمۡ غَيۡرِ ٱلۡمَغۡضُوبِ عَلَيۡهِمۡ وَلَا ٱلضَّآلِّينَ

Njia ya wale uliowaneemesha. Siyo ya wale waliokasirikiwa, wala waliopotea.

Njia ya wale uliowaneemesha. Siyo ya wale waliokasirikiwa, wala waliopotea.
Footer Include