Header Include

Fassarar Sawahil - Cibiyar fassara ta Ruwwad

Wani gungu na cibiyar fassara ta Ruwad ne suka fassarasu tare da haɗin gwiwar Ƙungiyar Da'awa ta Rabwah da Kungiyar hidimtawa abinda Musulunci ya kunsa da yaruka

QR Code https://quran.islamcontent.com/ha/swahili_rwwad

إِذَا زُلۡزِلَتِ ٱلۡأَرۡضُ زِلۡزَالَهَا

Itakapotetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!

Itakapotetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!

وَأَخۡرَجَتِ ٱلۡأَرۡضُ أَثۡقَالَهَا

Na itakapotoa ardhi mizigo yake!

Na itakapotoa ardhi mizigo yake!

وَقَالَ ٱلۡإِنسَٰنُ مَا لَهَا

Na mtu akasema: "Ina nini?"

Na mtu akasema: "Ina nini?"

يَوۡمَئِذٖ تُحَدِّثُ أَخۡبَارَهَا

Siku hiyo itahadithia habari zake.

Siku hiyo itahadithia habari zake.

بِأَنَّ رَبَّكَ أَوۡحَىٰ لَهَا

Kwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!

Kwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!

يَوۡمَئِذٖ يَصۡدُرُ ٱلنَّاسُ أَشۡتَاتٗا لِّيُرَوۡاْ أَعۡمَٰلَهُمۡ

Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!

Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!

فَمَن يَعۡمَلۡ مِثۡقَالَ ذَرَّةٍ خَيۡرٗا يَرَهُۥ

Basi anayetenda chembe ya wema, atauona!

Basi anayetenda chembe ya wema, atauona!

وَمَن يَعۡمَلۡ مِثۡقَالَ ذَرَّةٖ شَرّٗا يَرَهُۥ

Na anayetenda chembe ya uovu, atauona!

Na anayetenda chembe ya uovu, atauona!
Footer Include