الترجمة السواحلية - علي محسن البرواني
ترجمها علي محسن البرواني.
قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu, [1]
[1] Sema: Najikinga na Mola Mlezi wa wanaadamu, Mwenye kuendesha mambo yao.
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu, [1]
مَلِكِ ٱلنَّاسِ
Mfalme wa wanaadamu, [2]
[2] Mfalme wa wanaadamu, kwa ufalme ulio timia, kuwamiliki wote wafalme wao na maraia.
Mfalme wa wanaadamu, [2]
إِلَٰهِ ٱلنَّاسِ
Mungu wa wanaadamu, [3]
[3] Mungu wa wanaadamu, Mwenye uweza kwa kuwasarifu kwa ukamilifu atakavyo.
Mungu wa wanaadamu, [3]
مِن شَرِّ ٱلۡوَسۡوَاسِ ٱلۡخَنَّاسِ
Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas, [4]
[4] Na shari ya mwenye kutia wasiwasi watu, ambaye hurudi nyuma ukiomba msaada kwa Mwenyezi Mungu dhidi yake.
Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas, [4]
ٱلَّذِي يُوَسۡوِسُ فِي صُدُورِ ٱلنَّاسِ
Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu, [5]
[5] Ambaye hutia kwa kificho katika vifua vya watu ya kuwaachisha wasende kwenye njia ya uwongofu.
Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu, [5]
مِنَ ٱلۡجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ
Kutokana na majini na wanaadamu. [6]
[6] Kutokana na majini na wanaadamu.
Kutokana na majini na wanaadamu. [6]
مشاركة عبر