Header Include

الترجمة السواحلية - علي محسن البرواني

ترجمها علي محسن البرواني.

QR Code https://quran.islamcontent.com/54/swahili_barawani

قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلۡفَلَقِ

Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko, [1]

[1] Sema najikinga na Mola Mlezi wa asubuhi inapo pambazuka kutokana na usiku.
Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko, [1]

مِن شَرِّ مَا خَلَقَ

Na shari ya alivyo viumba, [2]

[2] Na shari ya kila chenye shari katika viumbe, ambavyo hapana wa kuzuia shari yao ila Mwenye kumiliki amri yao.
Na shari ya alivyo viumba, [2]

وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ

Na shari ya giza la usiku liingiapo, [3]

[3] Na shari ya usiku unapo kuwa totoro.
Na shari ya giza la usiku liingiapo, [3]

وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّٰثَٰتِ فِي ٱلۡعُقَدِ

Na shari ya wanao pulizia mafundoni, [4]

[4] Na shari ya anaye pita baina ya watu kwa sababu ya kuwafisidi.
Na shari ya wanao pulizia mafundoni, [4]

وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ

Na shari ya hasidi anapo husudu. [5]

[5] Na shari ya hasidi anaye tamani iondoke neema kwa wengine.
Na shari ya hasidi anapo husudu. [5]
Footer Include