Header Include

الترجمة السواحلية - علي محسن البرواني

ترجمها علي محسن البرواني.

QR Code https://quran.islamcontent.com/66/swahili_barawani

قُلۡ هُوَ ٱللَّهُ أَحَدٌ

Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. [1]

[1] Ewe Muhammad! Hao wanao sema kwa kejeli, "Tusifie Mola wako Mlezi.": waambie: Yeye ni Mwenyezi Mungu wa pekee hapana mwenginewe, wala hana mshirika.
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. [1]

ٱللَّهُ ٱلصَّمَدُ

Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. [2]

[2] Mwenyezi Mungu Mwenye kukusudiwa peke yake katika haja zote, na yote yanayo takikana.
Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. [2]

لَمۡ يَلِدۡ وَلَمۡ يُولَدۡ

Hakuzaa wala hakuzaliwa. [3]

[3] Hana mtoto wala hakuzaliwa na baba wala mama,
Hakuzaa wala hakuzaliwa. [3]

وَلَمۡ يَكُن لَّهُۥ كُفُوًا أَحَدُۢ

Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. [4]

[4] Wala hana yeyote aliye mshabihi, au mfano wake.
Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. [4]
Footer Include