Përkthimi Suahilisht - Qendra "Ruvvad et-Terxhemeh"
Përkthimi i kuptimeve të Kur'anit Fisnik
Përktheu ekipi i Qendrës "Ruv-vad et-Terxhemeh" në bashkëpunim me Shoqatën e Propagandës Islame në Rabva dhe Shoqatën për Shërbimin e Mesazhit Islam në Gjuhë të Ndryshme.
وَيۡلٞ لِّكُلِّ هُمَزَةٖ لُّمَزَةٍ
Ole wake kila anayewakejeli watu kwa ishara na maneno.
ٱلَّذِي جَمَعَ مَالٗا وَعَدَّدَهُۥ
Aliyekusanya mali na kuihesabu.
يَحۡسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخۡلَدَهُۥ
Anadhani ya kuwa mali yake itambakisha milele!
كَلَّاۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِي ٱلۡحُطَمَةِ
Hasha! Hakika atavurumishwa katika Hutwama.
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡحُطَمَةُ
Na ni nini kitakachokujulisha ni nini Hutwama?
نَارُ ٱللَّهِ ٱلۡمُوقَدَةُ
Ni Moto wa Mwenyezi Mungu uliowashwa.
ٱلَّتِي تَطَّلِعُ عَلَى ٱلۡأَفۡـِٔدَةِ
Ambao unapanda nyoyoni.
إِنَّهَا عَلَيۡهِم مُّؤۡصَدَةٞ
Hakika huo utafungwa sawasawa nao wako ndani yake.
فِي عَمَدٖ مُّمَدَّدَةِۭ
Kwenye nguzo zilizonyooshwa.
share_via