Përkthimi Suahilisht - Qendra "Ruvvad et-Terxhemeh"
Përkthimi i kuptimeve të Kur'anit Fisnik
Përktheu ekipi i Qendrës "Ruv-vad et-Terxhemeh" në bashkëpunim me Shoqatën e Propagandës Islame në Rabva dhe Shoqatën për Shërbimin e Mesazhit Islam në Gjuhë të Ndryshme.
أَلَمۡ تَرَ كَيۡفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصۡحَٰبِ ٱلۡفِيلِ
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyowafanya wale wenye tembo?
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyowafanya wale wenye tembo?
أَلَمۡ يَجۡعَلۡ كَيۡدَهُمۡ فِي تَضۡلِيلٖ
Kwani hakufanya vitimbi vyao kuharibika?
Kwani hakufanya vitimbi vyao kuharibika?
وَأَرۡسَلَ عَلَيۡهِمۡ طَيۡرًا أَبَابِيلَ
Na akawatumia ndege makundi kwa makundi.
Na akawatumia ndege makundi kwa makundi.
تَرۡمِيهِم بِحِجَارَةٖ مِّن سِجِّيلٖ
Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni.
Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni.
فَجَعَلَهُمۡ كَعَصۡفٖ مَّأۡكُولِۭ
Akawafanya kama majani yaliyoliwa!
Akawafanya kama majani yaliyoliwa!
share_via