斯瓦希里语翻译 - 拉瓦德翻译中心。
《古兰经》含义翻译
由拉瓦德翻译中心团队与拉布瓦 الدعوة协会和伊斯兰内容服务协会合作翻译。
تَبَّتۡ يَدَآ أَبِي لَهَبٖ وَتَبَّ
Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
مَآ أَغۡنَىٰ عَنۡهُ مَالُهُۥ وَمَا كَسَبَ
Haitamfaa mali yake, wala alivyovichuma.
Haitamfaa mali yake, wala alivyovichuma.
سَيَصۡلَىٰ نَارٗا ذَاتَ لَهَبٖ
Atauingia Moto wenye mwako mkali.
Atauingia Moto wenye mwako mkali.
وَٱمۡرَأَتُهُۥ حَمَّالَةَ ٱلۡحَطَبِ
Na mkewe, mchukuzi mkubwa wa kuni.
Na mkewe, mchukuzi mkubwa wa kuni.
فِي جِيدِهَا حَبۡلٞ مِّن مَّسَدِۭ
Shingoni mwake iko kamba iliyosokotwa sawasawa.
Shingoni mwake iko kamba iliyosokotwa sawasawa.
share_via