የስዋሂሊ ትርጉም - ሩዋድ የትርጉም ማዕከል
ሩዋድ የትርጉም ማዕከል ከ ረብዋ የዳዕዋ ማህበር እና ከ የእስልምና ይዘት በተለያዩ ቋንቋዎች አገልግሎት ማህበር ጋር በመተባበር የተተረጎመ
تَبَّتۡ يَدَآ أَبِي لَهَبٖ وَتَبَّ
Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
مَآ أَغۡنَىٰ عَنۡهُ مَالُهُۥ وَمَا كَسَبَ
Haitamfaa mali yake, wala alivyovichuma.
Haitamfaa mali yake, wala alivyovichuma.
سَيَصۡلَىٰ نَارٗا ذَاتَ لَهَبٖ
Atauingia Moto wenye mwako mkali.
Atauingia Moto wenye mwako mkali.
وَٱمۡرَأَتُهُۥ حَمَّالَةَ ٱلۡحَطَبِ
Na mkewe, mchukuzi mkubwa wa kuni.
Na mkewe, mchukuzi mkubwa wa kuni.
فِي جِيدِهَا حَبۡلٞ مِّن مَّسَدِۭ
Shingoni mwake iko kamba iliyosokotwa sawasawa.
Shingoni mwake iko kamba iliyosokotwa sawasawa.
مشاركة عبر