ترجمهٔ سواحلی ـ علی محسن البروانی
ترجمهٔ معانی قرآن کریم به زبان سواحلی ـ ترجمهٔ علی محسن البروانی.
قُلۡ يَٰٓأَيُّهَا ٱلۡكَٰفِرُونَ
Sema: Enyi makafiri!
Ewe Muhammad! Sema: Enyi makafiri, mlio shikilia juu ya ukafiri wenu.
Sema: Enyi makafiri!
لَآ أَعۡبُدُ مَا تَعۡبُدُونَ
Siabudu mnacho kiabudu;
Mimi simuabudu mnaye muabudu nyinyi badala ya Mwenyezi Mungu.
Siabudu mnacho kiabudu;
وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
Wala nyinyi si wenye kumuabudu huyo ambaye mimi namuabudu, naye ni Mwenyezi Mungu wa pekee.
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
وَلَآ أَنَا۠ عَابِدٞ مَّا عَبَدتُّمۡ
Wala sitaabudu mnacho abudu.
Wala mimi si mwenye kuabudu mfano wa ibada yenu, kwani nyinyi ni washirikina.
Wala sitaabudu mnacho abudu.
وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
Wala nyinyi si wenye kuabudu mfano wa ibada yangu, kwani hii ni Tawhidi, ibada ya Mungu Mmoja.
Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
لَكُمۡ دِينُكُمۡ وَلِيَ دِينِ
Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.
Nyinyi mna dini yenu mnayo itakidi, na mimi nina Dini yangu aliyo niteulia Mwenyezi Mungu niishike.
Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.
مشاركة عبر