ترجمهٔ سواحلی ـ علی محسن البروانی
ترجمهٔ معانی قرآن کریم به زبان سواحلی ـ ترجمهٔ علی محسن البروانی.
قُلۡ هُوَ ٱللَّهُ أَحَدٌ
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.
Ewe Muhammad! Hao wanao sema kwa kejeli, "Tusifie Mola wako Mlezi.": waambie: Yeye ni Mwenyezi Mungu wa pekee hapana mwenginewe, wala hana mshirika.
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.
ٱللَّهُ ٱلصَّمَدُ
Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.
Mwenyezi Mungu Mwenye kukusudiwa peke yake katika haja zote, na yote yanayo takikana.
Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.
لَمۡ يَلِدۡ وَلَمۡ يُولَدۡ
Hakuzaa wala hakuzaliwa.
Hana mtoto wala hakuzaliwa na baba wala mama,
Hakuzaa wala hakuzaliwa.
وَلَمۡ يَكُن لَّهُۥ كُفُوًا أَحَدُۢ
Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.
Wala hana yeyote aliye mshabihi, au mfano wake.
Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.
مشاركة عبر