Перевод на язык суахили - Центр Переводов Руввад

Перевод смыслов Благородного Корана

Переведено командой переводчиков центра "Руввад ат-тарджама" совместно с Ассоциацией призыва в ар-Рабве и Ассоциацией по распространению исламского контента на различных языках.

QR Code https://quran.islamcontent.com/ru/swahili_rwwad

قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلۡفَلَقِ

Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko.

Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko.

مِن شَرِّ مَا خَلَقَ

Kutokana na uovu wa alivyoviumba.

Kutokana na uovu wa alivyoviumba.

وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ

Na kutokana na uovu wa giza la usiku liingiapo.

Na kutokana na uovu wa giza la usiku liingiapo.

وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّٰثَٰتِ فِي ٱلۡعُقَدِ

Na kutokana na uovu wa wanaopuliza mafundoni.

Na kutokana na uovu wa wanaopuliza mafundoni.

وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ

Na kutokana na uovu wa mwenye husuda anapohusudu.

Na kutokana na uovu wa mwenye husuda anapohusudu.