Перевод на язык суахили - Центр Переводов Руввад
Перевод смыслов Благородного Корана
Переведено командой переводчиков центра "Руввад ат-тарджама" совместно с Ассоциацией призыва в ар-Рабве и Ассоциацией по распространению исламского контента на различных языках.
إِذَا زُلۡزِلَتِ ٱلۡأَرۡضُ زِلۡزَالَهَا
Itakapotetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!
وَأَخۡرَجَتِ ٱلۡأَرۡضُ أَثۡقَالَهَا
Na itakapotoa ardhi mizigo yake!
وَقَالَ ٱلۡإِنسَٰنُ مَا لَهَا
Na mtu akasema: "Ina nini?"
يَوۡمَئِذٖ تُحَدِّثُ أَخۡبَارَهَا
Siku hiyo itahadithia habari zake.
بِأَنَّ رَبَّكَ أَوۡحَىٰ لَهَا
Kwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!
يَوۡمَئِذٖ يَصۡدُرُ ٱلنَّاسُ أَشۡتَاتٗا لِّيُرَوۡاْ أَعۡمَٰلَهُمۡ
Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!
فَمَن يَعۡمَلۡ مِثۡقَالَ ذَرَّةٍ خَيۡرٗا يَرَهُۥ
Basi anayetenda chembe ya wema, atauona!
وَمَن يَعۡمَلۡ مِثۡقَالَ ذَرَّةٖ شَرّٗا يَرَهُۥ
Na anayetenda chembe ya uovu, atauona!
share_via