Ibisobanuro bya Qur'an mu rurimi rw'igiswahili - Ikigo Rowad cy'ubusobanuzi.
Yasobanuwe n'itsinda ry'ikigo Rowad cy'ubusobanuzi ku bufatanye n'ishyirahamwe ryo kwamamaza idini ry'ahitwa Rab'wat hamwe n'umuryango Islamic Content mu ndimi zitandukanye.
وَٱلۡعَصۡرِ
Ninaapa kwa Zama!
Ninaapa kwa Zama!
إِنَّ ٱلۡإِنسَٰنَ لَفِي خُسۡرٍ
Hakika binadamu bila ya shaka yuko katika hasara.
Hakika binadamu bila ya shaka yuko katika hasara.
إِلَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَعَمِلُواْ ٱلصَّٰلِحَٰتِ وَتَوَاصَوۡاْ بِٱلۡحَقِّ وَتَوَاصَوۡاْ بِٱلصَّبۡرِ
Ila wale walioamini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri.
Ila wale walioamini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri.
مشاركة عبر