Ibisobanuro bya Qur'an mu rurimi rw'igiswahili - Ikigo Rowad cy'ubusobanuzi.
Yasobanuwe n'itsinda ry'ikigo Rowad cy'ubusobanuzi ku bufatanye n'ishyirahamwe ryo kwamamaza idini ry'ahitwa Rab'wat hamwe n'umuryango Islamic Content mu ndimi zitandukanye.
أَرَءَيۡتَ ٱلَّذِي يُكَذِّبُ بِٱلدِّينِ
Je, umemwona anayekadhibisha Malipo?
Je, umemwona anayekadhibisha Malipo?
فَذَٰلِكَ ٱلَّذِي يَدُعُّ ٱلۡيَتِيمَ
Basi huyo ndiye anayemsukuma yatima.
Basi huyo ndiye anayemsukuma yatima.
وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ ٱلۡمِسۡكِينِ
Wala hahimizi kumlisha masikini.
Wala hahimizi kumlisha masikini.
فَوَيۡلٞ لِّلۡمُصَلِّينَ
Basi, ole wao wanaoswali.
Basi, ole wao wanaoswali.
ٱلَّذِينَ هُمۡ عَن صَلَاتِهِمۡ سَاهُونَ
Ambao wanapuuza Swala zao.
Ambao wanapuuza Swala zao.
ٱلَّذِينَ هُمۡ يُرَآءُونَ
Ambao wanajionyesha.
Ambao wanajionyesha.
وَيَمۡنَعُونَ ٱلۡمَاعُونَ
Na wanazuia msaada.
Na wanazuia msaada.
مشاركة عبر