Header Include

Swahili translation - Rowad Translation Center

translated by Rowwad Translation Center, in cooperation with the Islamic Propagation Office in Rabwah and the Association for Serving Islamic Content in Languages.

QR Code https://quran.islamcontent.com/so/swahili_rwwad

وَٱلَّيۡلِ إِذَا يَغۡشَىٰ

Ninaapa kwa usiku unapofunika!

Ninaapa kwa usiku unapofunika!

وَٱلنَّهَارِ إِذَا تَجَلَّىٰ

Na mchana unapodhihiri!

Na mchana unapodhihiri!

وَمَا خَلَقَ ٱلذَّكَرَ وَٱلۡأُنثَىٰٓ

Na kwa aliyeumba dume na jike!

Na kwa aliyeumba dume na jike!

إِنَّ سَعۡيَكُمۡ لَشَتَّىٰ

Hakika juhudi zenu bila ya shaka ni mbali mbali.

Hakika juhudi zenu bila ya shaka ni mbali mbali.

فَأَمَّا مَنۡ أَعۡطَىٰ وَٱتَّقَىٰ

Ama mwenye kutoa na akamcha Mungu.

Ama mwenye kutoa na akamcha Mungu.

وَصَدَّقَ بِٱلۡحُسۡنَىٰ

Na akalisadiki lililo jema.

Na akalisadiki lililo jema.

فَسَنُيَسِّرُهُۥ لِلۡيُسۡرَىٰ

Tutamrahisishia yawe mepesi.

Tutamrahisishia yawe mepesi.

وَأَمَّا مَنۢ بَخِلَ وَٱسۡتَغۡنَىٰ

Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake.

Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake.

وَكَذَّبَ بِٱلۡحُسۡنَىٰ

Na akakanusha lililo jema.

Na akakanusha lililo jema.

فَسَنُيَسِّرُهُۥ لِلۡعُسۡرَىٰ

Tutamrahisishia yawe mazito!

Tutamrahisishia yawe mazito!

وَمَا يُغۡنِي عَنۡهُ مَالُهُۥٓ إِذَا تَرَدَّىٰٓ

Na mali yake itamfaa nini atakapokuwa anadidimia?

Na mali yake itamfaa nini atakapokuwa anadidimia?

إِنَّ عَلَيۡنَا لَلۡهُدَىٰ

Hakika ni juu yetu kuonyesha uongofu.

Hakika ni juu yetu kuonyesha uongofu.

وَإِنَّ لَنَا لَلۡأٓخِرَةَ وَٱلۡأُولَىٰ

Na hakika ni yetu Sisi Akhera na dunia.

Na hakika ni yetu Sisi Akhera na dunia.

فَأَنذَرۡتُكُمۡ نَارٗا تَلَظَّىٰ

Basi nakuonyeni kutokana na Moto unaowaka vikali.

Basi nakuonyeni kutokana na Moto unaowaka vikali.

لَا يَصۡلَىٰهَآ إِلَّا ٱلۡأَشۡقَى

Hatauingia ila mwovu kabisa!

Hatauingia ila mwovu kabisa!

ٱلَّذِي كَذَّبَ وَتَوَلَّىٰ

Anayekadhibisha na akageuka na kwenda zake.

Anayekadhibisha na akageuka na kwenda zake.

وَسَيُجَنَّبُهَا ٱلۡأَتۡقَى

Na mcha Mungu ataepushwa nao.

Na mcha Mungu ataepushwa nao.

ٱلَّذِي يُؤۡتِي مَالَهُۥ يَتَزَكَّىٰ

Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa.

Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa.

وَمَا لِأَحَدٍ عِندَهُۥ مِن نِّعۡمَةٖ تُجۡزَىٰٓ

Na wala si kwa kuwa yupo yeyote aliyemfanyia hisani ndiyo anamlipa.

Na wala si kwa kuwa yupo yeyote aliyemfanyia hisani ndiyo anamlipa.

إِلَّا ٱبۡتِغَآءَ وَجۡهِ رَبِّهِ ٱلۡأَعۡلَىٰ

Ila ni kutaka uso wa Mola wake Mlezi aliye juu kabisa.

Ila ni kutaka uso wa Mola wake Mlezi aliye juu kabisa.

وَلَسَوۡفَ يَرۡضَىٰ

Naye atakujaridhia!

Naye atakujaridhia!
Footer Include