Salin sa Wikang Swahili ng Sentro ng Rowad sa Pagsasalin
Pagsasalin ng mga Kahulugan ng Marangal na Qur'an
Isinalin ito ng isang pangkat ng Sentro ng Rowad sa Pagsasalin sa pakikipagtulungan ng Samahan ng Da‘wah sa Rabwah at Samahan ng Paglilingkod sa Nilalamang Islāmiko sa mga Wika.
قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلۡفَلَقِ
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko.
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko.
مِن شَرِّ مَا خَلَقَ
Kutokana na uovu wa alivyoviumba.
Kutokana na uovu wa alivyoviumba.
وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ
Na kutokana na uovu wa giza la usiku liingiapo.
Na kutokana na uovu wa giza la usiku liingiapo.
وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّٰثَٰتِ فِي ٱلۡعُقَدِ
Na kutokana na uovu wa wanaopuliza mafundoni.
Na kutokana na uovu wa wanaopuliza mafundoni.
وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ
Na kutokana na uovu wa mwenye husuda anapohusudu.
Na kutokana na uovu wa mwenye husuda anapohusudu.
share_via