Salin sa Wikang Swahili ng Sentro ng Rowad sa Pagsasalin

Pagsasalin ng mga Kahulugan ng Marangal na Qur'an

Isinalin ito ng isang pangkat ng Sentro ng Rowad sa Pagsasalin sa pakikipagtulungan ng Samahan ng Da‘wah sa Rabwah at Samahan ng Paglilingkod sa Nilalamang Islāmiko sa mga Wika.

QR Code https://quran.islamcontent.com/tl/swahili_rwwad

ٱقۡرَأۡ بِٱسۡمِ رَبِّكَ ٱلَّذِي خَلَقَ

Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliyeumba.

Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliyeumba.

خَلَقَ ٱلۡإِنسَٰنَ مِنۡ عَلَقٍ

Amemuumba binaadamu kwa tone la damu.

Amemuumba binaadamu kwa tone la damu.

ٱقۡرَأۡ وَرَبُّكَ ٱلۡأَكۡرَمُ

Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote!

Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote!

ٱلَّذِي عَلَّمَ بِٱلۡقَلَمِ

Ambaye amefundisha kwa kalamu.

Ambaye amefundisha kwa kalamu.

عَلَّمَ ٱلۡإِنسَٰنَ مَا لَمۡ يَعۡلَمۡ

Kamfundisha mtu aliyokuwa hayajui.

Kamfundisha mtu aliyokuwa hayajui.

كَلَّآ إِنَّ ٱلۡإِنسَٰنَ لَيَطۡغَىٰٓ

Kwani! Hakika mtu bila ya shaka huwa jeuri.

Kwani! Hakika mtu bila ya shaka huwa jeuri.

أَن رَّءَاهُ ٱسۡتَغۡنَىٰٓ

Akijiona katajirika.

Akijiona katajirika.

إِنَّ إِلَىٰ رَبِّكَ ٱلرُّجۡعَىٰٓ

Hakika kwa Mola wako Mlezi ndio marejeo.

Hakika kwa Mola wako Mlezi ndio marejeo.

أَرَءَيۡتَ ٱلَّذِي يَنۡهَىٰ

Umemuona yule anayemkataza.

Umemuona yule anayemkataza.

عَبۡدًا إِذَا صَلَّىٰٓ

Mja anaposali?

Mja anaposali?

أَرَءَيۡتَ إِن كَانَ عَلَى ٱلۡهُدَىٰٓ

Umeona kama yeye yuko juu ya uongofu?

Umeona kama yeye yuko juu ya uongofu?

أَوۡ أَمَرَ بِٱلتَّقۡوَىٰٓ

Au anaamrisha ucha Mungu?

Au anaamrisha ucha Mungu?

أَرَءَيۡتَ إِن كَذَّبَ وَتَوَلَّىٰٓ

Umeona kama yeye akikanusha na anarudi nyuma?

Umeona kama yeye akikanusha na anarudi nyuma?

أَلَمۡ يَعۡلَم بِأَنَّ ٱللَّهَ يَرَىٰ

Hajui ya kwamba Mwenyezi Mungu anaona?

Hajui ya kwamba Mwenyezi Mungu anaona?

كَلَّا لَئِن لَّمۡ يَنتَهِ لَنَسۡفَعَۢا بِٱلنَّاصِيَةِ

Kwani! Kama haachi, tutamkokota kwa shungi la nywele!

Kwani! Kama haachi, tutamkokota kwa shungi la nywele!

نَاصِيَةٖ كَٰذِبَةٍ خَاطِئَةٖ

Shungi la uongo, lenye makosa!

Shungi la uongo, lenye makosa!

فَلۡيَدۡعُ نَادِيَهُۥ

Basi na awaite wenzake!

Basi na awaite wenzake!

سَنَدۡعُ ٱلزَّبَانِيَةَ

Nasi tutawaita Mazabania!

Nasi tutawaita Mazabania!

كَلَّا لَا تُطِعۡهُ وَٱسۡجُدۡۤ وَٱقۡتَرِب۩

Hasha! Usimtii! Nawe sujudu na ujongee!

Hasha! Usimtii! Nawe sujudu na ujongee!