Traducción al suajili - El Centro de Rowad Al- Taryamah
Traducción de los significados del Sagrado Corán
Traducida por el equipo del Centro Rowad At-Taryamah en cooperación con la Asociación de Dawah en Rabwa y la Asociación para el Servicio del Contenido Islámico en Idiomas.
وَيۡلٞ لِّكُلِّ هُمَزَةٖ لُّمَزَةٍ
Ole wake kila anayewakejeli watu kwa ishara na maneno.
ٱلَّذِي جَمَعَ مَالٗا وَعَدَّدَهُۥ
Aliyekusanya mali na kuihesabu.
يَحۡسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخۡلَدَهُۥ
Anadhani ya kuwa mali yake itambakisha milele!
كَلَّاۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِي ٱلۡحُطَمَةِ
Hasha! Hakika atavurumishwa katika Hutwama.
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡحُطَمَةُ
Na ni nini kitakachokujulisha ni nini Hutwama?
نَارُ ٱللَّهِ ٱلۡمُوقَدَةُ
Ni Moto wa Mwenyezi Mungu uliowashwa.
ٱلَّتِي تَطَّلِعُ عَلَى ٱلۡأَفۡـِٔدَةِ
Ambao unapanda nyoyoni.
إِنَّهَا عَلَيۡهِم مُّؤۡصَدَةٞ
Hakika huo utafungwa sawasawa nao wako ndani yake.
فِي عَمَدٖ مُّمَدَّدَةِۭ
Kwenye nguzo zilizonyooshwa.
share_via