Traducción al suajili - El Centro de Rowad Al- Taryamah
Traducción de los significados del Sagrado Corán
Traducida por el equipo del Centro Rowad At-Taryamah en cooperación con la Asociación de Dawah en Rabwa y la Asociación para el Servicio del Contenido Islámico en Idiomas.
أَلَمۡ تَرَ كَيۡفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصۡحَٰبِ ٱلۡفِيلِ
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyowafanya wale wenye tembo?
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyowafanya wale wenye tembo?
أَلَمۡ يَجۡعَلۡ كَيۡدَهُمۡ فِي تَضۡلِيلٖ
Kwani hakufanya vitimbi vyao kuharibika?
Kwani hakufanya vitimbi vyao kuharibika?
وَأَرۡسَلَ عَلَيۡهِمۡ طَيۡرًا أَبَابِيلَ
Na akawatumia ndege makundi kwa makundi.
Na akawatumia ndege makundi kwa makundi.
تَرۡمِيهِم بِحِجَارَةٖ مِّن سِجِّيلٖ
Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni.
Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni.
فَجَعَلَهُمۡ كَعَصۡفٖ مَّأۡكُولِۭ
Akawafanya kama majani yaliyoliwa!
Akawafanya kama majani yaliyoliwa!
share_via