TRADUZIONE SWAHILI - Pioneer Translation Center
Traduzione dei significati del Nobile Corano
Tradotta dal team del Pioneer Translation Center in collaborazione con Al-Rabwa Dawah Association e Association for Multilingual Islamic Content Services
وَيۡلٞ لِّكُلِّ هُمَزَةٖ لُّمَزَةٍ
Ole wake kila anayewakejeli watu kwa ishara na maneno.
ٱلَّذِي جَمَعَ مَالٗا وَعَدَّدَهُۥ
Aliyekusanya mali na kuihesabu.
يَحۡسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخۡلَدَهُۥ
Anadhani ya kuwa mali yake itambakisha milele!
كَلَّاۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِي ٱلۡحُطَمَةِ
Hasha! Hakika atavurumishwa katika Hutwama.
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡحُطَمَةُ
Na ni nini kitakachokujulisha ni nini Hutwama?
نَارُ ٱللَّهِ ٱلۡمُوقَدَةُ
Ni Moto wa Mwenyezi Mungu uliowashwa.
ٱلَّتِي تَطَّلِعُ عَلَى ٱلۡأَفۡـِٔدَةِ
Ambao unapanda nyoyoni.
إِنَّهَا عَلَيۡهِم مُّؤۡصَدَةٞ
Hakika huo utafungwa sawasawa nao wako ndani yake.
فِي عَمَدٖ مُّمَدَّدَةِۭ
Kwenye nguzo zilizonyooshwa.
share_via