TRADUZIONE SWAHILI - Pioneer Translation Center
Traduzione dei significati del Nobile Corano
Tradotta dal team del Pioneer Translation Center in collaborazione con Al-Rabwa Dawah Association e Association for Multilingual Islamic Content Services
قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa watu.
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa watu.
مَلِكِ ٱلنَّاسِ
Mfalme wa watu.
Mfalme wa watu.
إِلَٰهِ ٱلنَّاسِ
Mungu wa watu.
Mungu wa watu.
مِن شَرِّ ٱلۡوَسۡوَاسِ ٱلۡخَنَّاسِ
Kutokana na uovu wa Shetani mtia wasiwasi, ajifichaye mno (Al-Khannaas).
Kutokana na uovu wa Shetani mtia wasiwasi, ajifichaye mno (Al-Khannaas).
ٱلَّذِي يُوَسۡوِسُ فِي صُدُورِ ٱلنَّاسِ
Anayetia wasiwasi katika vifua vya watu.
Anayetia wasiwasi katika vifua vya watu.
مِنَ ٱلۡجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ
Kutokana na majini na watu.
Kutokana na majini na watu.
share_via