TRADUZIONE SWAHILI - Pioneer Translation Center
Traduzione dei significati del Nobile Corano
Tradotta dal team del Pioneer Translation Center in collaborazione con Al-Rabwa Dawah Association e Association for Multilingual Islamic Content Services
قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلۡفَلَقِ
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko.
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko.
مِن شَرِّ مَا خَلَقَ
Kutokana na uovu wa alivyoviumba.
Kutokana na uovu wa alivyoviumba.
وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ
Na kutokana na uovu wa giza la usiku liingiapo.
Na kutokana na uovu wa giza la usiku liingiapo.
وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّٰثَٰتِ فِي ٱلۡعُقَدِ
Na kutokana na uovu wa wanaopuliza mafundoni.
Na kutokana na uovu wa wanaopuliza mafundoni.
وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ
Na kutokana na uovu wa mwenye husuda anapohusudu.
Na kutokana na uovu wa mwenye husuda anapohusudu.
share_via