TRADUZIONE SWAHILI - Pioneer Translation Center
Traduzione dei significati del Nobile Corano
Tradotta dal team del Pioneer Translation Center in collaborazione con Al-Rabwa Dawah Association e Association for Multilingual Islamic Content Services
أَلَمۡ تَرَ كَيۡفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصۡحَٰبِ ٱلۡفِيلِ
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyowafanya wale wenye tembo?
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyowafanya wale wenye tembo?
أَلَمۡ يَجۡعَلۡ كَيۡدَهُمۡ فِي تَضۡلِيلٖ
Kwani hakufanya vitimbi vyao kuharibika?
Kwani hakufanya vitimbi vyao kuharibika?
وَأَرۡسَلَ عَلَيۡهِمۡ طَيۡرًا أَبَابِيلَ
Na akawatumia ndege makundi kwa makundi.
Na akawatumia ndege makundi kwa makundi.
تَرۡمِيهِم بِحِجَارَةٖ مِّن سِجِّيلٖ
Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni.
Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni.
فَجَعَلَهُمۡ كَعَصۡفٖ مَّأۡكُولِۭ
Akawafanya kama majani yaliyoliwa!
Akawafanya kama majani yaliyoliwa!
share_via