Header Include

斯瓦希里语翻译-阿里·穆哈森·伯瓦尼

古兰经斯瓦希里语译解,阿里·穆哈森·伯瓦尼翻译

QR Code https://quran.islamcontent.com/zh/swahili_barawani

قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ

Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,

Sema: Najikinga na Mola Mlezi wa wanaadamu, Mwenye kuendesha mambo yao.
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,

مَلِكِ ٱلنَّاسِ

Mfalme wa wanaadamu,

Mfalme wa wanaadamu, kwa ufalme ulio timia, kuwamiliki wote wafalme wao na maraia.
Mfalme wa wanaadamu,

إِلَٰهِ ٱلنَّاسِ

Mungu wa wanaadamu,

Mungu wa wanaadamu, Mwenye uweza kwa kuwasarifu kwa ukamilifu atakavyo.
Mungu wa wanaadamu,

مِن شَرِّ ٱلۡوَسۡوَاسِ ٱلۡخَنَّاسِ

Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,

Na shari ya mwenye kutia wasiwasi watu, ambaye hurudi nyuma ukiomba msaada kwa Mwenyezi Mungu dhidi yake.
Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,

ٱلَّذِي يُوَسۡوِسُ فِي صُدُورِ ٱلنَّاسِ

Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,

Ambaye hutia kwa kificho katika vifua vya watu ya kuwaachisha wasende kwenye njia ya uwongofu.
Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,

مِنَ ٱلۡجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ

Kutokana na majini na wanaadamu.

Kutokana na majini na wanaadamu.
Kutokana na majini na wanaadamu.
Footer Include