Terjemahan Berbahasa Sawahili - Pusat Terjemah Ruwwād
Terjemahan Makna Al-Qur'an al-Karim
Diterjemahkan oleh Tim Pusat Terjemah Ruwwād bekerjasama dengan Kantor Dakwah di Rabwah dan Lembaga Layanan Konten Islami Multibahasa.
لِإِيلَٰفِ قُرَيۡشٍ
Kwa walivyozoea Maqureshi.
Kwa walivyozoea Maqureshi.
إِۦلَٰفِهِمۡ رِحۡلَةَ ٱلشِّتَآءِ وَٱلصَّيۡفِ
Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.
Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.
فَلۡيَعۡبُدُواْ رَبَّ هَٰذَا ٱلۡبَيۡتِ
Basi na wamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii.
Basi na wamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii.
ٱلَّذِيٓ أَطۡعَمَهُم مِّن جُوعٖ وَءَامَنَهُم مِّنۡ خَوۡفِۭ
Ambaye anawalisha kutokana na njaa, na anawalinda kutokana na hofu.
Ambaye anawalisha kutokana na njaa, na anawalinda kutokana na hofu.
share_via