Terjemahan Berbahasa Sawahili - Pusat Terjemah Ruwwād
Terjemahan Makna Al-Qur'an al-Karim
Diterjemahkan oleh Tim Pusat Terjemah Ruwwād bekerjasama dengan Kantor Dakwah di Rabwah dan Lembaga Layanan Konten Islami Multibahasa.
قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلۡفَلَقِ
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko.
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko.
مِن شَرِّ مَا خَلَقَ
Kutokana na uovu wa alivyoviumba.
Kutokana na uovu wa alivyoviumba.
وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ
Na kutokana na uovu wa giza la usiku liingiapo.
Na kutokana na uovu wa giza la usiku liingiapo.
وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّٰثَٰتِ فِي ٱلۡعُقَدِ
Na kutokana na uovu wa wanaopuliza mafundoni.
Na kutokana na uovu wa wanaopuliza mafundoni.
وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ
Na kutokana na uovu wa mwenye husuda anapohusudu.
Na kutokana na uovu wa mwenye husuda anapohusudu.
share_via