Terjemahan Berbahasa Sawahili - Pusat Terjemah Ruwwād
Terjemahan Makna Al-Qur'an al-Karim
Diterjemahkan oleh Tim Pusat Terjemah Ruwwād bekerjasama dengan Kantor Dakwah di Rabwah dan Lembaga Layanan Konten Islami Multibahasa.
إِذَا جَآءَ نَصۡرُ ٱللَّهِ وَٱلۡفَتۡحُ
Itakapokuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi.
Itakapokuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi.
وَرَأَيۡتَ ٱلنَّاسَ يَدۡخُلُونَ فِي دِينِ ٱللَّهِ أَفۡوَاجٗا
Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi.
Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi.
فَسَبِّحۡ بِحَمۡدِ رَبِّكَ وَٱسۡتَغۡفِرۡهُۚ إِنَّهُۥ كَانَ تَوَّابَۢا
Basi zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha. Hakika Yeye ndiye anayepokea toba mno.
Basi zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha. Hakika Yeye ndiye anayepokea toba mno.
share_via