Terjemahan Berbahasa Sawahili - Pusat Terjemah Ruwwād

Terjemahan Makna Al-Qur'an al-Karim

Diterjemahkan oleh Tim Pusat Terjemah Ruwwād bekerjasama dengan Kantor Dakwah di Rabwah dan Lembaga Layanan Konten Islami Multibahasa.

QR Code https://quran.islamcontent.com/id/swahili_rwwad

تَبَّتۡ يَدَآ أَبِي لَهَبٖ وَتَبَّ

Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.

Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.

مَآ أَغۡنَىٰ عَنۡهُ مَالُهُۥ وَمَا كَسَبَ

Haitamfaa mali yake, wala alivyovichuma.

Haitamfaa mali yake, wala alivyovichuma.

سَيَصۡلَىٰ نَارٗا ذَاتَ لَهَبٖ

Atauingia Moto wenye mwako mkali.

Atauingia Moto wenye mwako mkali.

وَٱمۡرَأَتُهُۥ حَمَّالَةَ ٱلۡحَطَبِ

Na mkewe, mchukuzi mkubwa wa kuni.

Na mkewe, mchukuzi mkubwa wa kuni.

فِي جِيدِهَا حَبۡلٞ مِّن مَّسَدِۭ

Shingoni mwake iko kamba iliyosokotwa sawasawa.

Shingoni mwake iko kamba iliyosokotwa sawasawa.